Katika ofisi hii kunafundishwa kozi ya komputa kwa wanachuo na watu kutoka nje ya chuo kwa malipo maaalumu kama mradi wa chuo. Pia zinapatikana huduma za kuperuzi mitandao,kutoa nakala na vingine vingi.
CHUO CHA UALIMU KINAMPANDA KINAPATIKANA KATIKA MKOA WA SINGIDA,WILAYA YA IRAMBA. CHUO KINAFUNDISHA UALIMU NGAZI YA CHETI.
CHUO CHA UALIMU KINAMPANDA KINA UWEZO WA KUCHUKUA WANAFUNZI ZAIDI YA MIA TANO NA WOTE WAKAPATA MALAZI NA MAKAZI SALAMA. CHUO KINA WALIMU WA KUTOSHA KATIKA FANI MBALIMBALI. KARIBU KINAMPANDA,KARIBU CHUO CHA UALIMU KINAMPANDA.